Maelezo ya Chini
a Muda si muda, Yehova angempa Eliya kazi ya kumzoeza Elisha, ambaye angekuja kujulikana kuwa yule “aliyemimina maji juu ya mikono ya Eliya.” (2 Fal. 3:11) Elisha alikuwa mtumishi wa Eliya, na inaelekea kwamba alimsaidia nabii huyo mzee.