Maelezo ya Chini
a Inakadiriwa kwamba katika siku za Yona, Samaria, mji mkuu wa ufalme wa makabila kumi ya Israeli ulikuwa na wakaaji kati ya 20,000 na 30,000, karibu robo ya wakaaji wa Ninawi. Jiji la Ninawi lilipositawi na kuwa maarufu, huenda lilikuwa jiji kubwa zaidi ulimwenguni.