Maelezo ya Chini
d Hamani alitoa mchango wa talanta 10,000 za fedha, kiasi ambacho leo ni sawa na mamilioni ya dola. Ikiwa Ahasuero alikuwa Shasta wa Kwanza, basi huenda pesa hizo zilimchochea akubali pendekezo la Hamani. Shasta alihitaji pesa nyingi ili apigane na Wagiriki katika vita vilivyosababisha uharibifu mkubwa.