Maelezo ya Chini
b Lameki alikuwa amempa mwanaye jina Noa, ambalo huenda linamaanisha “Pumziko” au “Faraja,” na alikuwa ametabiri kwamba Noa angetimiza maana ya jina lake kwa kuwaongoza wanadamu kwenye pumziko ili wasisumbuke kwenye udongo uliolaaniwa. (Mwa. 5:28, 29) Lameki hakuona unabii huo ukitimizwa. Huenda mama ya Noa, ndugu, na dada zake waliangamizwa na Gharika.