Maelezo ya Chini
b Ingawa Wanafunzi wa Biblia waliona uhitaji wa kujitenga na mashirika ya kidini ambayo yalikuwa na urafiki na ulimwengu, kwa miaka mingi waliendelea kuwaona kuwa ndugu zao wale wote waliodai kuwa na imani katika fidia na kwamba wamejiweka wakfu kwa Mungu ingawa Wakristo hao hawakuwa Wanafunzi wa Biblia.