Maelezo ya Chini
b Ingawa leo kipindi hicho cha wakati huenda kikaonekana kuwa kirefu, tunapaswa kukumbuka kwamba wanadamu walikuwa wakiishi miaka mingi sana wakati huo; kulikuwa na watu wanne kutoka Adamu hadi Abrahamu ambao maisha yao yalipishana. Maisha ya Adamu yalipishana na maisha ya Lameki, baba ya Noa. Maisha ya Lameki yalipishana na maisha ya Shemu, mwana wa Noa. Maisha ya Shemu yalipishana na maisha ya Abrahamu.—Mwa. 5:5, 31; 9:29; 11:10, 11; 25:7.