Maelezo ya Chini
c Jina “Shetani” linapatikana mara 18 katika Maandiko ya Kiebrania. Hata hivyo, jina “Shetani” linapatikana zaidi ya mara 30 katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo. Kwa kufaa, Maandiko ya Kiebrania hayakumzungumzia sana Shetani badala yake yalikazia zaidi kumtambulisha Masihi. Masihi alipowasili, alimfunua Shetani waziwazi, na jambo hilo limeandikwa katika Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo.