Maelezo ya Chini
c Wakati huo, wazee walichaguliwa kwa kupigiwa kura na kutaniko. Kwa hiyo, kutaniko lingekataa kuwapigia kura wanaume waliopinga kazi ya kuhubiri. Badiliko la kuacha kuwachagua wazee kwa njia ya kura na kuanza kuwaweka rasmi kitheokrasi litazungumziwa katika Sura ya 12.