Maelezo ya Chini
b Ili kujifunza mengi zaidi kuhusu miaka hiyo na makumi ya miaka iliyofuata, tunakutia moyo usome ukurasa wa 425-520 wa kitabu Mashahidi wa Yehova—Wapiga-Mbiu wa Ufalme wa Mungu ambacho kinasimulia yale ambayo kazi ya mavuno ilitimiza kutoka mwaka wa 1919 hadi 1992.