Maelezo ya Chini
d Katika barua yake ya Novemba 14, 1927, Ndugu Frederick W. Franz aliandika hivi: “Hatutasherehekea Krismasi mwaka huu. Familia ya Betheli imeamua kutosherehekea Krismasi tena.” Miezi michache baadaye katika barua ya Februari 6, 1928, Ndugu Franz aliandika: “Hatua kwa hatua Bwana anatusafisha kutokana na makosa ya tengenezo la Kibabiloni la Ibilisi.”