Maelezo ya Chini
f Kutenganishwa kwa samaki wazuri na samaki wasiofaa ni tofauti na kutenganishwa kwa kondoo na mbuzi. (Mt. 25:31-46) Kutenganishwa kwa kondoo na mbuzi au hukumu ya mwisho, kunafanywa wakati wa dhiki kuu inayokuja. Kabla ya wakati huo, wote walio kama samaki wasiofaa wanaweza kumrudia Yehova na kukusanywa katika makutaniko yanayofananishwa vyombo.—Mal. 3:7.