Maelezo ya Chini
b Nadhiri hiyo haikuruhusu mwanaume na mwanamke kuwa peke yao ndani ya chumba isipokuwa mlango uwe wazi kabisa—au ikiwa wao ni wenzi wa ndoa au wana uhusiano wa karibu sana wa kifamilia. Kwa miaka kadhaa, nadhiri hiyo ilisomwa kila siku ikiwa sehemu ya programu ya Ibada ya Asubuhi Betheli.