Maelezo ya Chini
a Tunajuaje kwamba Baba alimfundisha Mwana jinsi ya kufundisha? Fikiria hili: Mifano mingi ambayo Yesu alitumia alipokuwa akifundisha ilitimiza unabii uliotolewa karne nyingi kabla ya kuzaliwa kwake. (Zab. 78:2; Mt. 13:34, 35) Ni wazi kwamba Yehova, Mtungaji wa unabii huo, aliamua tangu zamani kwamba Mwana wake angetumia mifano kufundisha.—2 Tim. 3:16, 17.