Maelezo ya Chini
a Ni jambo linalopatana na akili kwamba uharibifu wa “Babiloni Mkubwa” unarejelea hasa uharibifu wa mashirika ya kidini, si mauaji ya watu wote wanaofuata dini. Kwa hiyo, watu wengi ambao zamani walikuwa wafuasi wa Babiloni hawataharibiwa wakati huo, na huenda wakajaribu, hata hadharani, kujitenga na dini, kama inavyoonyeshwa kwenye Zekaria 13:4-6.