Maelezo ya Chini
a Katika masimulizi mengine, Biblia inatueleza kuhusu ufufuo wa vijana na watu wazima, wanaume na wanawake, Waisraeli na wakaaji wageni. Unaweza kusoma masimulizi hayo katika 1 Wafalme 17:17-24; 2 Wafalme 4:32-37; 13:20, 21; Mathayo 28:5-7; Luka 7:11-17; 8:40-56; Matendo 9:36-42; 20:7-12.