Maelezo ya Chini
a Hilo halimaanishi kwamba Shetani anawatuma watu wajaribu kukuzuia kujifunza Biblia. Hata hivyo, Shetani ni “mungu wa mfumo huu wa mambo,” na “ulimwengu mzima unakaa katika nguvu [zake].” Hivyo, haishangazi kuona baadhi ya watu wakijaribu kutuzuia kumtumikia Yehova.—2 Wakorintho 4:4; 1 Yohana 5:19.