Maelezo ya Chini
b Kuhusu maneno ya Shetani, kitabu kimoja cha marejeo ya Biblia kinasema hivi: “Katika simulizi la kwanza la kujaribiwa, ambalo Adamu na Hawa walianguka . . . , suala linahusu kuchagua kati ya mapenzi ya Shetani na mapenzi ya Mungu, jambo ambalo linamaanisha kumtolea kikamili ibada mmoja kati ya hao wawili. Kwa kweli, Shetani anajifanya kuwa mungu katika cheo cha Mungu wa pekee.”