Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Neno “wivu” linaonyesha jinsi Yehova anavyothamini uaminifu. Tunaweza kufikiria jinsi mume anavyokasirika na kuwa na wivu ikiwa mke wake anakosa kuwa mwaminifu. (Met. 6:34) Kama mume huyo, Yehova alikasirika Waisraeli walipokosa kuwa waaminifu kwa kuabudu sanamu. Kitabu kimoja cha marejeo kinasema: “Wivu wa Mungu . . . unachochewa na utakatifu wake. Kwa kuwa yeye peke yake ndiye mtakatifu . . . , Hakubali ibada nyingine.”—Kut. 34:14.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki