Maelezo ya Chini
a Ni jambo linalopatana na akili kuamini kwamba Ezekieli aliigiza ishara hizo zote mbele ya watazamaji. Kwa nini? Kwa sababu kuhusu baadhi ya maigizo, kama vile kuoka mkate na kubeba mizigo, Yehova alimwamuru kihususa Ezekieli afanye mambo hayo “mbele ya macho yao.”—Eze. 4:12; 12:7.