Maelezo ya Chini
b Kwa kuruhusu Yerusalemu liharibiwe, Yehova alionyesha kwamba hukumu yake ilikuwa juu ya ufalme wa Yuda wenye makabila mawili, na pia ufalme wa Israeli wenye makabila kumi. (Yer. 11:17; Eze. 9:9, 10) Ona Insight on the Scriptures, Buku la 1, uku. 462, “Chronology—From 997 B.C.E. to Desolation of Jerusalem.”