Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Wayahudi wengi wahamishwa waliishi katika vijiji vilivyokuwa mbali na jiji la Babiloni. Kwa mfano, Ezekieli aliishi kati ya Wayahudi walioishi kando ya mto Kebari. (Eze. 3:15) Hata hivyo, kuna wahamishwa wachache Wayahudi walioishi jijini. Walitia ndani wale waliotoka katika “uzao wa kifalme na wa watu mashuhuri.”—Dan. 1:3, 6; 2 Fal. 24:15.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki