Maelezo ya Chini
b Kulingana na kitabu kimoja cha marejezo, neno la Kiebrania “kosa” linaweza kuwa na maana ya “upotovu.” Kitabu kingine cha marejezo kinasema kwamba neno hilo “linahusiana hasa na dini, na karibu mara zote linatumiwa kuonyesha hatia ya kimaadili au dhambi mbele za Mungu.”