Maelezo ya Chini
c Andiko la Danieli 11:45 linaonyesha kwamba mfalme wa kaskazini atawashambulia watu wa Mungu, linasema mfalme huyo “atapiga mahema yake ya kifalme kati ya bahari kuu [Mediterania] na mlima mtakatifu wa lile Pambo [mahali lilipokuwa hekalu la Mungu na ambamo watu wa Mungu waliabudu].”