Maelezo ya Chini
d Biblia inazungumzia pia shambulizi la “Mwashuru” wa siku zetu ambaye atajaribu kuwaangamiza watu wa Mungu. (Mik. 5:5) Huenda mashambulizi manne yaliyotabiriwa kuwapata watu wa Mungu—shambulizi la Gogu wa Magogu, la mfalme wa kaskazini, la wafalme wa dunia, na la Mwashuru—yanarejelea kwa majina tofauti shambulizi lilelile.