Maelezo ya Chini
c Kuhusiana na hilo, kumbuka mfano wa Yesu wa wavu wa kukokotwa. Samaki wengi wananaswa na wavu, lakini si wote walio “wazuri.” Samaki wasiofaa wanatupwa. Basi Yesu alionya kwamba huenda baadaye idadi kubwa ya watu wanaoingia katika tengenezo la Yehova wakakosa kuwa waaminifu.—Mt. 13:47-50; 2 Tim. 2:20, 21.