Maelezo ya Chini
a Majina hayo yana maana. Ohola linamaanisha “Hema Lake [la Ibada]”—inaonekana linamaanisha hatua ya Israeli ya kuanzisha sehemu nyingine za ibada badala ya kumwabudu Yehova katika hekalu huko Yerusalemu. Kwa upande mwingine, Oholiba linamaanisha “Hema Langu [la Ibada] Liko Ndani Yake.” Yerusalemu lilikuwa kituo cha nyumba ya ibada ya Yehova.