Maelezo ya Chini
a Mhubiri ni yule anayehubiri kwa ukawaida habari njema ya Ufalme wa Mungu. (Mathayo 24:14) Ili upate ufafanuzi kamili kuhusu jinsi idadi hii inavyopatikana, soma makala yenye kichwa “Mashahidi wa Yehova Ni Wangapi Ulimwenguni Pote?” kwenye tovuti ya jw.org/sw.