Maelezo ya Chini
a Yehova anawajali sana watu waliovunjika moyo. (Zaburi 34:18) Anaelewa hisia zenye kuhuzunisha ambazo hufanya watu fulani watamani kujiua, na anataka kuwasaidia. Ili kuona jinsi anavyowasaidia watu washinde hisia hizo, soma makala “Ninataka Kufa—Je, Biblia Inaweza Kunisaidia Ikiwa Ninawazia Kujiua?” iliyo kwenye sehemu ya Chunguza Zaidi katika somo hili.