Maelezo ya Chini
b Wale ambao wamewahi kutoa mimba hawapaswi kulemewa na hisia za hatia, Yehova anaweza kuwasamehe. Ili kupata habari zaidi, soma makala “Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutoa Mimba?” iliyo kwenye sehemu ya Chunguza Zaidi katika somo hili.