Maelezo ya Chini
b Katika tamaduni fulani, wazazi huamua mtu atakayefunga ndoa na mwana au binti yao. Katika visa kama hivyo, wazazi wenye upendo huchunguza kwanza ikiwa mtu huyo anampenda Yehova, bali si uwezo wake wa kifedha, au jinsi watu wanavyomwona katika jamii.