Maelezo ya Chini
e Neno la Kigiriki por·neiʹa, linalotumiwa katika Maandiko kurejelea baadhi ya matendo ya ngono yanayokatazwa na Mungu. Yanatia ndani uzinzi, ukahaba, ngono kati ya watu ambao hawajafunga ndoa, ngono kati ya watu wa jinsia moja, na kufanya ngono na wanyama.