Maelezo ya Chini
a Katika mfululizo mkubwa wa makala katika matoleo yatakayofuata, Mnara wa Mlinzi unakusudia kuzungumza utawala wa miaka elfu wa Yesu Kristo—yatakayotukia mbele ya kuanza miaka elfu, ishara za kukaribia kwa Ufalme, utakavyokuwa na maana kwa wanadamu, nani watakaokuwa wasimamizi wake mbinguni na duniani, raia zake, ufufuo wa wafu na kuhukumiwa kwao, na mambo mengine ya utawala wa Ufalme wa miaka elfu. Msingi wa makala hizi utakuwa kitabu cha kujifunza God’s Kingdom of a Thousand Years Has Approached, kilichochapwa na Sosaiti Brooklyn, New York (1973).