Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a “Maneno haya yaliyomo katika mstari wa 14 ndiyo maana ya mfano wote wala si ya sehemu iliyo juu ya mtu asiye na vazi la arusi.”​—Ukurasa wa 104 wa Barnes Notes on the New Testament, chapa ya 1963. The Jerusalem Bible (1966) yasema, katika maelezo ya chini juu ya Mathayo 22:14: “Sentensi hii yaelekea kumaanisha sehemu ya kwanza ya mfano badala ya ile ya pili. Maana si juu ya wateule kwa jumla bali juu ya Wayahudi, waliokuwa wa kwanza kualikwa. Mfano . . . wala haudai wala haukani kwamba wengine (‘wachache’) wa Wayahudi hawakuukubali mwaliko na kwamba wao si ‘waliochaguliwa’.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki