Maelezo ya Chini
a Kwa sababu izo hizo, mara kwa mara Wayahudi wa kisasa wanaona ni lazima waongeze mwezi wao wa kumi na tatu wa mwaka katika wakati ulio tofauti na ule ambao mashahidi wa Yehova wanaongeza. Basi, nyakati hizo tarehe yao ya Kupitwa inakuwa mwezi mmoja baada ya tarehe ya Ukumbusho ya mashahidi wa Yehova.