Maelezo ya Chini
a Kamusi Lexicon of the New Testament ya Robinson yasema juu ya neno e·lengʹkho hivi: “kuaibisha, kutweza, katika Homer tu [mtunga mashari Mgiriki aliyeishi kabla ya nyakati za Ukristo]. . . . Kwa kawaida na katika A[gano] J[ipya] kusadikisha, . . . kukanusha, kuhakikishia mtu ana kosa.”
Kitabu Word Studies in the New Testament cha Vincent chasema: ‘‘Katika Kigiriki cha asili lamaanisha kutweza au kuaibisha . . . Halafu [baadaye], kuhoji-hoji au kuuliza maulizo, kwa kusudi la kusadikisha, kusadikisha mtu kwamba ana kosa au kukanusha. . . . Kuhusu mabishano, kujaribu; hakikisha; hakikisha kwa mfululizo wa sababu.” (Sisi ndisi tumelaza maneno)