Maelezo ya Chini
a Katika Isaya 1:18, NW ambapo neno la Kiebrania linalolingana na e·lengʹkho limetumiwa, Yehova aambia Israeli hivi: “‘Njoni, sasa, enyi watu, na mwache tunyoshe mambo [“tusemezane,” Union Version; “mwache tuyabishanie na kuyamaliza,” New English Bible] kati yetu,’ asema Yehova. ‘Hata ikiwa dhambi zenu watu zi kama damu, zitafanywa nyeupe kama theluji.’”