Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Tafsiri kadha zinatumia neno “hadhara” au “kwa hadhara” zinapotafsiri 1 Timotheo 5:20. Lakini, baadhi yazo zaonyesha ‘watenda dhambi’ wanaotajwa ni miongoni mwa wazee tu waliotajwa katika mstari uliotangulia (mstari wa 19). Kwa mfano, tafsiri ya Knox inayosema, “Toeni kemeo la hadhara kwa wale wanaoishi isivyowapasa,” ina maelezo ya chini yanayosema hivi: “Kwa hao,’ labda ikimaanisha ‘kwa hao wazee’; nalo agizo la kwamba wanapaswa kukemewa hadharani laeleweka zaidi kumaanisha ‘Mbele ya wazee wale wengine.’” Kwa habari ya kama maneno “mbele ya wote” yanatumika ama kwa ‘wazee wote’ au kwa ‘wote kundini,’ kitabu cha maelezo cha Schaff-Lange chasema: “Kulingana na sarufi, maana zote mbili zaweza kwenda.” Twaonyesha mambo haya kuonyesha tu kwamba matumizi ya maneno katika 1 Timotheo 5:20 “mbele ya watazamaji wote” (au, “machoni pa wote”) yaweza kutumiwa kwa njia zaidi ya moja kulingana na sarufi: kwa kikundi kikubwa, kama kundi lililokusanyika, au kwa kikundi kidogo, kama baraza ya wazee.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki