Maelezo ya Chini
a Kwa sababu hati nyingine zinaacha maneno yaliyo baada ya “mwili wangu” na kuendelea mpaka mwisho wa mstari wa 20, maneno hayo yameachwa katika The Bible in Living English (Byington), The New English Bible, na An American Translation, kwa wazi sababu ni kwamba masimulizi ya Mathayo na Marko yanasema kwamba Yesu alitumia kikombe tu katika wakati huu. The Holy Bible in Modern English ya Ferrar Fenton inatia maneno hayo katika vifungo viwili vya mraba kama kwamba maneno hayo yalikuwa ya uongo, ya kuongezwa.