Maelezo ya Chini
a Orodha ya kale ya sheria za Kiyahudi iitwayo The Mishnah inasema hivi: “Mkazo mwingi zaidi unahusu [utii wa] maneno ya Waandishi kuliko [kutii] maneno ya Sheria [iliyoandikwa].”—Kijitabu Sanhedrin, 11:3, kilichotafsiriwa na Herbert Danby.