Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Kuhusu kusali barabarani na mahali pa watu wote, maandishi ya kirabi ya Wayahudi yanatoa mifano kama huu ufuatao: “Rabi Yokanani amesema: ‘Niliona namna Rabi Yanai alivyokuwa akisimama na kutoa sala ya Musaf [nyongeza]:’ “(Palestinian Talmud) “Ikiwa mtu amesimama akiomba barabarani au mahali palipo wazi, husogea kando [apishe punda], mpanda punda au mbeba mzigo pasipo kukatisha sala yake. Kuhusu Rabi Chanina ben Dosa [wapata mwaka 70 W.K.] inasimuliwa kwamba alikuwa amesimama akiomba. Halafu nyoka mwenye sumu akamwuma. Hata hivyo, yeye, hakukatiza sala yake.”‏​—Tosephta (maandishi ya nyongeza ya Mishnah).

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki