Maelezo ya Chini
a Katika Kiebrania, neno linalolingana na “mlaji-watu” ni okhelʹ adamʹ, linalomaanisha “mlaji wanadamu;” au, okhelʹ ben minoʹ, “mlaji mwana wa aina yake.” Kwa ogofyo la mfano wa namna hii katika Yerusalemu katika” mwaka wa 70 W.K., tazama kitabu cha Yosefo “Wars of the Jews,” sura ya 3, kitabu cha 6.