Maelezo ya Chini
a Shauri la Yesu linalozungumzwa katika makala hii (Mt. 6:25-34) linaonekana pia katika Luka 12:22-31 likiwa tofauti kidogo. Vifungu vyenye kuzunguka habari hiyo katika Luka, kikao chake kilikuwa kama mwaka mmoja hivi baada ya Mahubiri ya Mlimani katika Galilaya, wakati wa huduma ya baadye ya Yesu Katika Yudea. Kwa wazi Yesu aliona inafaa kurudia onyo hilo la upole.