Maelezo ya Chini
b Andiko hili la Kiebrania laweza kufahamika katika maana nyingine. Kwa kuwa mwovu anaelekea kufaulu, wengine kati ya watumishi wa Mungu wanaanza kuwaza katika njia yenye upotovu. Wanarudishwa katika njia ya kuwaza na hali kama ile ya mwasi-sheria. Wale wanaoongozwa vibaya hivyo wanakuwa kama kwamba wanasema hivi: ‘Mungu hajui kinachotukia. Yeye hatauchukulia uasi hatua.’