Maelezo ya Chini
d Barua ya United Press ya Septemba 26, 1977, kutoka Vatican City ilisema hivi: “Papa alisema kwamba yale maono yake mengine ya moyoni anapokaribia miaka 80 yanahusu kudumu kwa Kanisa la Rumi Katoliki. ‘Kanisa hilo litadumu,’ akasema, ‘litadamu katikati ya tufani ya historia. Kanisa hili linadumu likiwa imara na lenye nguvu katika matukio ya ulimwengu ili kutoa injili yote na wokovu wa milele.’ ”
Tazama ukurasa 3-A wa gazeti The Galveston Daily News la Septemba 26, 1977, chini ya kichwa “Papa Paulo Atazamia Kifo Kinachokaribia. ‘