Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

b Yote haya yalitukia wakati wa nusu ya mwisho ya juma la mwisho la “majuma sabini” ya miaka yaliyotabiriwa katika Danieli 9:24-27a. Wakati wa “juma” hilo la 70 Yehova Mungu alikuwa akitendesha kazi kuelekea Waisraeli wa asili agano la Ibrahimu ambalo katika hilo Waisraeli walijipata ndani yake kwa kuwa warithi wa asili wa Ibrahimu. (Mwa. 12:1-3; 22:18) Tofauti na Filipo ambaye alikimbia mateso na kwenda Samaria, Matendo 11:19 latuambia hivi: “Wale waliotawanyika kwa sababu ya ile dhiki ‘ iliyotukia kwa habari ya Stefano, wakasafiri hata Foinike na [kisiwa cha] Kipro na Antioka [katika Shamu], wasilihubiri lile neno ila kwa Wayahudi peke yao.” “Juma” la 70 la kibali ya pekee kwa Wayahudi wa asili kwa sababu ya agano la Ibrahimu lilimalizika mapema katika vuli wa mwaka 36 W.K., likiwa lilianza na kubatizwa kwa Yesu na kutiwa mafuta katika mwaka 29 W.K. Kwa hiyo kufunguliwa nafasi kwa Wasamaria waliobatizwa hakukufungulia njia watu wote wasio Wayahudi katika ‘sehemu za mwisho wa dunia’ au kutanguliza kuingia kwa wingi kwa Mataifa hao wasiotahiriwa kwenye kundi la Kikristo lililozaliwa kwa roho.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki