Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO

Maelezo ya Chini

a Mamia ya mashahidi waliobatizwa karibuni walijiunga na itikio la wasikilizaji wenye kuonekana wakati msemaji wa watu wote alipotoa azimio mwishoni mwa hotuba yake na kusema: “Na sasa rafiki zangu wema wa wasikilizaji hawa, wasioonekana na wanaoonekana pia, napendekeza kwamba kila mmoja wenu anayetamani serikali ambayo katika hiyo amani, fanaka na furaha vitakuja kwa wote wanaotii, asimame na kusema Ndiyo.”

Kuhusu yaliyofuata pendekezo hili, gazeti la Washington Herald lilisema hivi:

“Kama vile wimbi makutano hayo mengi katika na kuzunguka jumba hilo yalisimama kwa miguu yao. Mikono ikiwa imeinuliwa juu, Mashahidi wa Yehova kama ambavyo mapafu yao yaliweza kuruhusu waliinua sauti juu ndiyo. Madirisha kwenye jumba hilo yalitikisika mshindo wa sauti ulipoyagonga, na sauti ya makutano hayo, polisi walikadiri, ingeweza kusikiwa kwa urahisi kwa umbali wa maili moja.”

Tamasha kama hizo zilifanywa wakati ule ule katika London, Belfast, Glasgow, Copenhagen na mamia ya sehemu nyingine katika sehemu nyingi za dunia.​—The Golden Age, toleo la Juni 19, 1935, uku. 598; tazama pia Kitabu cha Mwaka cha Mashahidi wa Yehova (Kiingereza) cha mwaka 1936, uku. 62, fu. 3.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki