Maelezo ya Chini
a Viongozi wengi wa kidini Wayahudi wa karne ya kwanza W.K. waliongozwa sana na filosofia ya kipagani ya Kigiriki. Kwa mfano, Filo, mwana-filosofia Myahudi wa Alexandria, aliamini kwamba Plato, mwanafilosofia Mgiriki mwenye kujulikana sana, alikuwa ameongozwa na Mungu naye alifundisha kwamba Mungu haelezeki na, hivyo, hawezi kupewa jina.