Maelezo ya Chini
a Kwa kuwa Zaburi ya 145 ni zaburi ya alfabeti, kila mstari unaofuata ukianza kwa herufi inayofuata katika alfabeti za Kiebrania, tafsiri ya New World chapa ya 1971, ina maneno haya ya chini: “Mstari unaoanzia na herufi nun ya Kiebrania unakosekana baada ya mstari wa mem. Katika hati nyingine za Kiebrania mstari huo wa nun unasomwa hivi: ‘Yehova ni mwaminifu katika maneno yake yote, na mwenye kupenda kwa fadhili katika kazi zake zote.’ Hiyo inathibitishwa na LXXVgSy.”