Maelezo ya Chini
a Kazi zenye nguvu za Yesu zilichochea wengi wapendezwe naye. Hata hivyo ni Jambo linalofaa kuangaliwa kwamba hakupata kujulikana kama “Mfanya-miujiza” au kama hivyo. Kwa kutokeza zaidi, yeye alipata kujulikana kuwa “Mwalimu.”—Mt. 8:19: 19:16; 26:18; Marko 4:38; Yohana 3:2.