Maelezo ya Chini
b Katikati ya 1919 na 1980, magazeti 4,767,784,340 yalienezwa ulimwenguni pote na Mashahidi wa Yehova, bila kutia ndani milioni za nakala zilizotumwa kwa waandikishaji wa Mnara wa Mlinzi na Amkeni. Hiyo ni zaidi ya maradufu ya hesabu ya trakti na vijitabu vilivyoenezwa wakati wa kipindi icho hicho.